JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA

TAASISI YENYE VIWANGO VYA ISO 9001: 2015

Maombi ya leseni yaliyokamilika yanatakiwa kuwa na vitu vifuatavyo:

  1. Barua ya kuwasilisha maombi kwa Mkurugenzi Mkuu
  2. Fomu ya maombi iliyojazwa kikamilifu na kupigwa mhuri
  3. Nakala halisi ya risiti ya malipo ya ada ya maombi
  4. Nakala iliyothibitishwa ya hati za Usajili wa Kampuni
  5. Nakala iliyothibitishwa ya Katiba ya Kampuni
  6. Uthibitisho wa uwezo wa mwombaji (mifano)
  7. Wasifu wa Kampuni
  8. Anwani ya mahali kampuni ilipo na ya mawasiliano
  9. Mipango ya kiufundi
    1. Aina ya teknolojia (makabrasaha yanayoelezea vipengele vya kiufundi)
    2. Mpango wa kueneza mtandao na huduma
      1. eneo litakalofikiwa
      2. uwezo wa wa kukidhi mahitaji
      3. mpango wa ujenzi
      4. mahitaji ya masafa ya redio
      1. Mpango wa mtandao na wa kila kipengele
      2. Huduma inayotolewa
  10. Mpango wa gharama na tozo
    1. Mfumo wa kuandaa gharama
    2. Upangaji wa bei za huduma
    3. Mfumo wa kuandaa ankara – uwezo wa kutoa maelezo ya kina
    4. Mpango wa kuhudumia wateja (ubora wa huduma)
  11. Mpango wa kifedha
    1. Makisio ya matumizi na mapato
    2. Makisio ya mapato halisi
    3. Makisio ya mizania ya kifedha
  12. Moango wa uwekezaji
    1. Fedha za uwekezaji
    2. Mkakati wa kuendeleza wafanyakazi na raslimali watu
  13. Mpangilio wa vipindi (kwa maudhui)
    1. Ubora na aina ya maudhui
    2. Faida kwa uchumi na jamii iliyoko eneo la
    3. Utoaji wa aina nyingi za vipindi
    4. Matokeo kwa maendeleo ya jumla kwa sekta ya utangazaji
Je, una Maswali yoyote juu ya Sekta ya Mawasiliano?
Tuma Mrejesho na Malalamiko!

Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imejidhatiti kutoa huduma bora kwa wateja na wadau wake wote.

Tuma Mrejesho na Malalamiko!