Mwanzo
Kuhusu
Huduma
Viunganishi
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA

TAASISI YENYE VIWANGO VYA ISO 9001: 2015

Idara ya Leseni na Utekelezaji

  1. Kusimamia maendeleo, utekelezaji na mapitio ya Kanuni, Sheria, na Miongozo ya utoaji leseni na usimamizi wa huduma za mawasiliano;
  2. Kusimamia utoaji leseni, matekelezo na Michakato ya Masuala ya Wateja;
  3. Kutoa ushauri kuhusiana na masuala ya Leseni na Utekelezaji wa sheria;
  4. Kuandaa ratiba ya kazi kwa ajili ya matekelezo ya masharti ya leseni na kusimamia utekelezaji;
  5. Kuandaa na kusimamia programu za masuala ya elimu kwa umma na wateja;
  6. Kusimamia maandalizi na utekelezaji wa mbinu za kushughulikia malalamiko;
  7. Kutoa Huduma za Sekretarieti kwenye Bodi, Kamati za Maudhui na Malalamiko za TCRA;
  8. Kuunganisha na Baraza la Ushauri wa Wateja la TCRA kuhusiana na masuala ya Wateja;
  9. Kuratibu shughuli za mashirika ya Kikanda na Kimataifa yanayojihusisha na masuala ya ACRAN.
© 2023 TCRA, Haki zote zimehifadhiwa.