[{"data":1,"prerenderedAt":-1},["ShallowReactive",2],{"news-detail-sw-ujumbe-wa-waziri-wa-habari-mawasiliano-na-teknolojia-ya-habari-katika-kuadhimish-sw":3,"news-neighbors-sw-ujumbe-wa-waziri-wa-habari-mawasiliano-na-teknolojia-ya-habari-katika-kuadhimish-sw":134,"related-news-sidebar":147},{"id":4,"documentId":5,"title":6,"slug":7,"introduction":8,"content":9,"publishedDate":77,"readingTime":78,"createdAt":79,"updatedAt":79,"publishedAt":80,"locale":81,"localizations":82,"cover":87},234,"bgo1ev5ly887oxftucbvbz1m","Ujumbe wa Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari katika Kuadhimisha Siku ya Mawasiliano na Jamii ya Habari Duniani","ujumbe-wa-waziri-wa-habari-mawasiliano-na-teknolojia-ya-habari-katika-kuadhimish-sw","Ndugu wananchi na wadau wa Sekta ya Mawasiliano;  leo ni siku ya Mawasiliano na Jamii Ya Habari Duniani (World Telecommunication and Information Society Day -WTISD) ambayo imekua ikiadhimishwa kila mwaka tarehe 17 Mei tangu mwaka 1969. Tarehe hiyo inakumbusha maadhimisho ya kuanzishwa kwa Shirika la Mawasiliano Dunian…",[10,19,29,35,39,43,47,53,59,63,67,72],{"type":11,"children":12},"paragraph",[13,17],{"bold":14,"text":15,"type":16},true,"Ndugu wananchi na wadau wa Sekta ya Mawasiliano;","text",{"text":18,"type":16}," leo ni siku ya Mawasiliano na Jamii Ya Habari Duniani (World Telecommunication and Information Society Day -WTISD) ambayo imekua ikiadhimishwa kila mwaka tarehe 17 Mei tangu mwaka 1969. Tarehe hiyo inakumbusha maadhimisho ya kuanzishwa kwa Shirika la Mawasiliano Duniani (International Telecommunication Union - ITU) tarehe 17 Mei 1865, wakati Mkataba wa Kwanza wa Kimataifa wa Telegraph uliposainiwa huko Paris. Tanzania kama nchi mwanachama wa ITU inaungana na mataifa mengine duniani kuadhimisha siku hii muhimu ambayo ina lengo la kusaidia kuongeza uelewa wa fursa zinazoweza kuletwa na matumizi ya mtandao na Teknolojia nyingine za Habari na Mawasiliano (TEHAMA) katika ukuzaji wa jamii, taifa na ustawi wa uchumi, pamoja na njia za kupunguza pengo la kidijitali duniani.",{"type":11,"children":20},[21,23,25,27],{"bold":14,"text":22,"type":16},"Ndugu Wananchi na wadau wa Sekta ya Mawasiliano",{"text":24,"type":16},"; maadhimisho ya mwaka 2024 yamebebwa na kauli mbiu isemayo “",{"bold":14,"text":26,"type":16},"Ubunifu wa Kidijiti kwa Maendeleo Endelevu",{"text":28,"type":16},"”. Kauli mbiu hii inatambua kwamba ili kujenga maendeleo endelevu kunahitaji mawazo na hatua za ubunifu, hasa katika ulimwengu wa sasa wa kidijiti. Dunia inatambua kwamba teknolojia ya ubunifu “innovative tech” inaweza kusaidia kukabiliana na changamoto kuu za ulimwengu, kutoka kupambana na mabadiliko ya tabia nchi hadi kuondoa njaa na umaskini. Kwa kweli, teknolojia za kidijitali zinaweza kusaidia kufikia asilimia 70 ya malengo, chini ya Malengo ya Maendeleo Endelevu ya Umoja wa Mataifa (UN Sustainable Development Goals) ifikapo mwaka 2030. Hata hivyo, pengo kubwa la kidijiti linazuia ubunifu katika sehemu nyingi za dunia. Ukosefu wa sera, uwekezaji, na ujuzi wa kidijiti unafanya nchi nyingi kushindwa kuendana na mabadiliko ya haraka katika mandhari ya kidijiti. Hivyo kwa kushirikiana pamoja duniani, tunaweza kufikia malengo haya kwa kutumia ubunifu wa kidijiti.",{"type":11,"children":30},[31,33],{"bold":14,"text":32,"type":16},"Ndugu Wananchi na Wadau wa sekta ya mawasiliano; ",{"text":34,"type":16},"Serikali ya Tanzania inatambua mchango wa jamii nzima. sekta za umma, sekta binafsi, taasisi za kimataifa na za kikanda na taasisi za elimu ya juu katika mchango wao kwenye jitihada za kuchochea ubunifu wa kidijiti nchini Tanzania na kueneza matumizi ya bunifu hizi katika kuleta maendeleo ya kijamii na uchumi.",{"type":11,"children":36},[37],{"text":38,"type":16},"Tanzania, kama nchi nyingine duniani, inakabiliana na changamoto nyingi za kijamii na kiuchumi. Hata hivyo, tumeona jinsi teknolojia ya kidijitali inavyoweza kutumika kama chombo cha kuleta mabadiliko chanya katika maisha ya wananchi wetu.",{"type":11,"children":40},[41],{"text":42,"type":16},"Katika miaka ya hivi karibuni, Tanzania imepiga hatua kubwa katika kuimarisha miundombinu ya mawasiliano, kama vile mitandao ya simu za mkononi na huduma ya intaneti. Hii imekuwa ni muhimu sana katika kuunganisha wananchi wetu na huduma za msingi za kijamii na kiuchumi kwa njia ya kidijitali. Kupitia matumizi ya simu za mkononi na teknolojia nyingine za kidijitali, wananchi wanapata upatikanaji wa habari, elimu, huduma za afya, huduma za kifedha, na fursa za biashara kwa urahisi zaidi.",{"type":11,"children":44},[45],{"text":46,"type":16},"Serikali ya Tanzania inatambua kuwa ujumuishaji wa kweli wa kidijiti unategemea upatikanaji wa huduma hii. Pia inatambua uwezo mkubwa wa TEHAMA na bunifu za kidijiti kama mtengenezaji wa nguvu ya kuwezesha maendeleo ya kijamii na kiuchumi. Hii inatokana na mafanikio makubwa ambayo Tanzania imeyapata katika miaka ya hivi karibuni, ikiwa ni pamoja na kutungwa kwa sheria na kanuni za kusimamia sekta, maendeleo ya Miundombinu ya Msingi ya Mawasiliano ya ICT (NICTBB) inayounganisha miji yote mikubwa na ofisi za umma kadhaa, kuboresha upatikanaji wa huduma za TEHAMA kwa umma, uhamishaji wa pesa kupitia simu za mkononi na maendeleo ya mfumo wa nambari za posta na anwani za makazi. Kwa mtazamo huo, sera na mikakati imejikita katika kanuni kwamba teknolojia na bunifu za kidigitali zinapaswa kupatikana kwa wote, ikiwa ni pamoja na wale wanaokabiliwa na vizuizi vya kimwili, kiuchumi au kijamii. Inaamini kuwa teknolojia ikichukuliwa kwa njia ya kujumuisha inaweza kuwa nguvu yenye mabadiliko chanya. Ili kufanya hili kuwa ukweli, Serikali imechukua hatua mbalimbali za kukuza Uchumi wa Kidijitali ikiwa ni pamoja na NICTBB, Kituo cha Takwimu za Mtandao wa Kitaifa (NIDC), Sera ya TEHAMA ya Kitaifa (2016) na Mkakati wake wa Utekelezaji, Uendeshaji wa Serikali ya Kimtandao, Mkakati wa Usalama wa Mtandao wa Kitaifa 2016 na Mpango wa Maendeleo wa Sekta ya Fedha 2020/21 - 2029/30. Hatua hizi zinaendana na Mwelekeo wa Maendeleo wa Taifa 2025, Mpango wa Maendeleo wa Miaka Mitano na Mfumo wa Mkakati wa Uchumi wa Kidijitali wa Tanzania.",{"type":11,"children":48},[49,51],{"bold":14,"text":50,"type":16},"Ndugu wananchi na wadau wa sekta ya mawasiliano",{"text":52,"type":16},"; ili kuchochea ubunifu wa kidijiti wenye tija ni muhimu kuja na suluhisho za TEHAMA zilizoboreshwa ili kutatua matatizo mbalimbali tunayokabiliana nayo kama nchi katika mazingira yetu. Serikali ya Tanzania inaamini katika kuendeleza mazingira yanayosisitiza ubunifu na ujasiriamali. Mipango ya kuunga mkono kuanzisha biashara ndogo, hasa zile zinazojikita katika kutatua changamoto za ndani, ni sehemu muhimu ya mkakati wetu wa kukuza ukuaji wa kiuchumi kwa njia ya ubunifu wa kidigiti. Kutambua hili, Serikali ya Tanzania mnamo mwaka wa 1986, iliunda Tume ya Sayansi na Teknolojia ya Tanzania (COSTECH) kupitia Sheria ya Bunge Na. 7 ya 1986, ikipewa jukumu la kuratibu na kukuza shughuli za utafiti na maendeleo ya teknolojia nchini. Ni mshauri mkuu wa Serikali katika masuala yote yanayohusiana na sayansi, teknolojia na ubunifu na matumizi yao katika maendeleo ya kijamii na kiuchumi ya nchi. COSTECH inaratibu, inakuza na inarahisisha sayansi, teknolojia na ubunifu nchini kwa kukidhi mahitaji ya wateja ili kuhakikisha kuwa nchi inaendeshwa na sayansi, teknolojia na ubunifu. Serikali inahimiza uchukuaji wa kanuni za kubuni yaani “universal design” katika maendeleo ya suluhisho za kidijiti. Kwa kukuza unajumuishaji tangu hatua ya kubuni, lengo letu ni kuunda teknolojia ambazo kimsingi zinafikika kwa watu wenye uwezo na mahitaji mbalimbali. Serikali pia inaunga mkono ubunifu unaolenga moja kwa moja changamoto zinazokabiliwa na makundi ya watu yaliyotengwa.",{"type":11,"children":54},[55,57],{"bold":14,"text":56,"type":16},"Ndugu Wananchi na Wadau wa Sekta ya Mawasiliano",{"text":58,"type":16},"; aidha, Tanzania kwa kupitia Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) ni mjumbe wa Bodi ya Muungano wa Ubunifu na Ujasiriamali kwa Maendeleo ya Kidijiti (The Innovation and Entrepreneurship Alliance for Digital Development) na pia imechaguliwa kuwa kituo cha ITU chenye lengo la Kuharakisha Mtandao (Network Acceleration Centre) kwa kiwango cha kitaifa pamoja na nchi nyingine nne (4) barani Afrika. Kituo hiki kitawezesha vyuo vikuu na taasisi za utafiti kupata huduma na vifaa kwa njia ya mtandao, kutumia nafasi ya kidijiti katika kubuni, kujaribu na kutekeleza suluhisho za kidijiti pamoja na kupata msaada wa kiufundi unaohitajika kutoka ITU Idara ya Maendeleo ya Mawasiliano (Telecommunications Development Bureau -BDT) ambao utawezesha ushiriki wa kazi katika ubunifu na ujasiriamali wa kidijitali.",{"type":11,"children":60},[61],{"text":62,"type":16},"Tanzania inaendelea kushiriakiana na ITU pamoja na mataifa mengine katika kujenga ujuzi na uwezo ili kusaidia Tanzania katika kuratibu na kuimarisha vyuo vikuu ili viwe tayari kutumia maabara ya kuharakisha mabadiliko ya kidijiti huko Geneva pamoja na vituo vipya vya kusaidia vilivyopangwa kuanzishwa nchini; pia kuwajengea uwezo chipukizi wa ubunifu katika kukuza maendeleo ya bidhaa za ubunifu wa kidijiti ambazo zina umuhimu katika biashara, kijamii na kiuchumi ili kuchangia katika maendeleo ya taifa.",{"type":11,"children":64},[65],{"text":66,"type":16},"Aidha kutokana na jitihada hizi tutaweza kuendeleza mazingira yanayowezesha vijana kupata ufikiaji wa mitaji (fedha) na njia za ufadhili kwa ajili ya ubunifu na ujasiriamali wa kidijiti. Pia itachangia katika kuunda lango la mtandaoni kwa wajasiriamali, kampuni zinazochipukia, na biashara ndogondogo na za kati za Kitanzania ili kuuza huduma na ujuzi wao na kuhamasisha kampuni nyingine duniani na nchini kununua huduma kutoka kwa wajasiriamali walioorodheshwa na pia kutengeneza mikakati ya kukusanya fedha kusaidia suluhisho za kidijiti za ubunifu na ujasiriamali na kuendeleza uwezo wa wajasiriamali.",{"type":11,"children":68},[69,70],{"bold":14,"text":22,"type":16},{"text":71,"type":16},"; Serikali ya Tanzania inatambua umuhimu wa sekta binafsi, kwani zina jukumu kubwa katika kuendesha ubunifu wa kidijiti. Tunatambua kuwa kufikia mapinduzi ya kidijitali na upatikanaji jumuishi kunahitaji jitihada za pamoja. Tunashirikiana kikamilifu na mashirika yasiyo ya kiserikali, washirika wa sekta binafsi na jamii ya kiraia ili kuweka pamoja rasilimali na utaalamu. Pamoja, tunaweza kuongeza athari ya mipango yetu katika kuchochea na kukuza bunifu za kidigiti na kuwafikia wananchi wote ikiwa ni pamoja na makundi yanayotengwa kwa ufanisi zaidi. Serikali inashirikiana kikamilifu na wadau wa sekta kujenga mazingira wezeshaji kwa biashara kustawi, kuwavutia wawekezaji na kuchangia katika ukuaji wa uchumi wa kidijiti. Tunatekeleza mikakati maalumu ya kufuta pengo la kidijitali, tukilenga jamii zilizotengwa na makundi hatarishi. Hii ni pamoja na mipango ya kushughulikia changamoto za gharama na kuhakikisha ushirikishwaji katika mandhari ya kidijiti. Serikali ya Tanzania inaendelea kuwa na azma ya kusonga mbele katika mchakato wa kidijitali na ushirikishwaji. Tunaelewa nguvu ya bunifu za kidijitali na uwezo wake wa kuleta maendeleo kwa taifa letu. Kupitia jitihada za pamoja na ushirikiano wa kimkakati, lengo letu ni kuunda Tanzania inayotumia ubunifu wa kidijitali unaowanufaisha wananchi wake wote.",{"type":11,"children":73},[74,75],{"bold":14,"text":22,"type":16},{"text":76,"type":16}," ; nawatakia Watanzania wote, Wadau wa Sekta ya Mawasiliano na jamii ya habari na Mataifa Wanachama wa Shirika la Mawasiliano Duniani (ITU), siku ya Mawasiliano na Jamii Ya Habari Duniani (WTISD) yenye kumbukumbu nzuri kwa mwaka wa 2024.","2024-05-16",7.14,"2024-05-17T05:23:07.000Z","2026-06-02T23:41:51.162Z","sw",[83],{"id":84,"documentId":5,"slug":85,"locale":86},233,"ujumbe-wa-waziri-wa-habari-mawasiliano-na-teknolojia-ya-habari-katika-kuadhimish","en",{"id":88,"documentId":89,"url":90,"alternativeText":91,"formats":92,"width":132,"height":133},57,"zdd7kciuq7nehyfh526ca3r7","https://www.tcra.go.tz/tcra-tovuti/2024/mamlaka-website/news/covers/fbfed6e2acab4cf4355ce3cdb557520c_f780ce2fd3.jpeg",null,{"large":93,"small":105,"medium":114,"thumbnail":123},{"ext":94,"url":95,"etag":96,"hash":97,"mime":98,"name":99,"path":100,"size":101,"width":102,"height":103,"sizeInBytes":104},".jpeg","https://www.tcra.go.tz/tcra-tovuti/2024/mamlaka-website/news/covers/large_fbfed6e2acab4cf4355ce3cdb557520c_f780ce2fd3.jpeg","0cff20709044f4f71504a469338269e2","large_fbfed6e2acab4cf4355ce3cdb557520c_f780ce2fd3","image/jpeg","large_fbfed6e2acab4cf4355ce3cdb557520c.jpeg","2024/mamlaka-website/news/covers",30.16,1000,562,30155,{"ext":94,"url":106,"etag":107,"hash":108,"mime":98,"name":109,"path":100,"size":110,"width":111,"height":112,"sizeInBytes":113},"https://www.tcra.go.tz/tcra-tovuti/2024/mamlaka-website/news/covers/small_fbfed6e2acab4cf4355ce3cdb557520c_f780ce2fd3.jpeg","40cc4f702cd12f497337598f98e7e235","small_fbfed6e2acab4cf4355ce3cdb557520c_f780ce2fd3","small_fbfed6e2acab4cf4355ce3cdb557520c.jpeg",11,500,281,11004,{"ext":94,"url":115,"etag":116,"hash":117,"mime":98,"name":118,"path":100,"size":119,"width":120,"height":121,"sizeInBytes":122},"https://www.tcra.go.tz/tcra-tovuti/2024/mamlaka-website/news/covers/medium_fbfed6e2acab4cf4355ce3cdb557520c_f780ce2fd3.jpeg","06db5a384d1783404a543f16a4215a18","medium_fbfed6e2acab4cf4355ce3cdb557520c_f780ce2fd3","medium_fbfed6e2acab4cf4355ce3cdb557520c.jpeg",19.58,750,421,19580,{"ext":94,"url":124,"etag":125,"hash":126,"mime":98,"name":127,"path":100,"size":128,"width":129,"height":130,"sizeInBytes":131},"https://www.tcra.go.tz/tcra-tovuti/2024/mamlaka-website/news/covers/thumbnail_fbfed6e2acab4cf4355ce3cdb557520c_f780ce2fd3.jpeg","56068fc142e3291455e032ecee7dd214","thumbnail_fbfed6e2acab4cf4355ce3cdb557520c_f780ce2fd3","thumbnail_fbfed6e2acab4cf4355ce3cdb557520c.jpeg",4.09,245,138,4090,1388,780,{"prev":135,"next":141},{"id":136,"documentId":137,"title":138,"slug":139,"createdAt":140},228,"twl2i8ke7qshjuf8a2vjvvff","Tangazo la Nafasi za Kazi: Nafasi Zinazopatikana kwa Wahandisi, Maafisa TEHAMA, Wanasayansi wa Takwimu, na Wachambuzi wa Takwimu","tangazo-la-nafasi-za-kazi-nafasi-zinazopatikana-kwa-wahandisi-maafisa-tehama-wan","2024-06-07T10:58:00.000Z",{"id":142,"documentId":143,"title":144,"slug":145,"createdAt":146},240,"vcf4f8ftcg558qc3phjvunyz","Ujumbe wa Mkurugenzi Mkuu, Dkt. Jabiri K. Bakari katika Kuadhimisha Siku ya Mawasiliano na Jamii ya Habari Duniani","ujumbe-wa-mkurugenzi-mkuu-dkt-jabiri-k-bakari-katika-kuadhimisha-siku-ya-mawasil","2024-05-17T05:18:14.000Z",[148,264,408,503,598,704,764],{"id":149,"documentId":150,"title":151,"slug":152,"introduction":153,"content":154,"publishedDate":214,"readingTime":215,"createdAt":216,"updatedAt":217,"publishedAt":218,"locale":81,"cover":219},1688,"e1hv3w2i3xqhluv9onsmxwb5","WADAU RUKWA WATAKA TCRA KUSHIRIKIANA NA WATOA HUDUMA ZA MITANDAO KUKABILI UTAPELI WA KIMTANDAO","wadau-rukwa-wataka-tcra-kushirikiana-na-watoa-huduma-za-mitandao-kukabili-utapeli-wa-kimtandao","Wadau mbalimbali mkoani Rukwa wamekutana katika mkutano maalum uliojadili changamoto ya utapeli wa kimtandao uliopo mkoani humo, huku wakitoa mapendekezo kadhaa yenye lengo la kudhibiti vitendo hivyo vinavyoleta athari kwa wananchi kiuchumi na kijamii.",[155,159,162,166,170,174,178,182,186,190,194,198,202,206,210],{"type":11,"children":156},[157],{"text":158,"type":16},"Sumbawanga",{"type":11,"children":160},[161],{"text":153,"type":16},{"type":11,"children":163},[164],{"text":165,"type":16},"Miongoni mwa mapendekezo yaliyotolewa na washiriki wa mkutano huo ni kuwa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kukaa na makampuni ya watoa huduma za mawasiliano ya simu na intaneti ili kuangalia namna bora ya kuimarisha zoezi la usajili wa laini za simu ambao ndio limekuwa chanzo kikubwa cha uwepo wa laini zinazotumika kwaajili ya utapeli mtandaoni.",{"type":11,"children":167},[168],{"text":169,"type":16},"Akifungua mkutano huo Mkuu wa Wilaya ya Nkasi Mheshimiwa Peter Lijualikali ameitaka TCRA kuongeza ufuatiliaji wa masuala ya utapeli wa kimtandao kutokana na kukithiri kwa vitendo hivyo hasa kwa mkoa wa Rukwa. Pia ameiasa jamii kujenga utamaduni wa kuuliza, kuhakiki na kuripoti matukio ya uhalifu kwa vyombo vya ulinzi na usalama ili hatua mahususi zichukuliwe haraka.",{"type":11,"children":171},[172],{"text":173,"type":16},"Awali Mkurugenzi Mkuu wa TCRA Mhandisi Peter Mwasalyanda amesema Kwa mujibu wa ripoti ya hali ya sekta ya mwasiliano nchini inayoishia Juni 2026 inaonesha kuwa mkoa wa Rukwa na mataukio 2495 (sawa na asilimia 34 ya matukio yote nchi nzima) na mkoa Morogoro ukiwa una matukio ya ulaghai yaliyoripotiwa 2129 (sawa na asilimia 29 ya matukio yote nchi nzima). Kwa mkoa wa Rukwa wilaya inayoongoza kwa matukio ya utapeli ni Sumbawanga ikiwa na matukio 1,330, ikifuatiwa na wilaya ya Kalambo yenye matukio 612 na mwisho ni Nkasi yenye matukio yaliyoripotiwa 553.",{"type":11,"children":175},[176],{"text":177,"type":16},"“TCRA imekuwa ikitoa hizi taarifa za takwimu ili wadau wanaohusika na Masuala ya Uhalifu pamoja na watoa huduma waweze kutambua maeneo yanayopaswa kupewa kipaumbele na kuyafanyia kazi” Mkurugenzi Mkuu TCRA.",{"type":11,"children":179},[180],{"text":181,"type":16},"Wawakilishi kutoka kamati ya maadili ya mkoa wa Rukwa walipendekeza kuwepo kwa muda wa saa 24 kabla ya mtu kuruhusiwa kusajili laini nyingine ya simu huku pia wakilitaka Bunge kutunga sheria itakayoweka wazi adhabu kwa watu wanaojihusisha na utapeli wa kimtandao.",{"type":11,"children":183},[184],{"text":185,"type":16},"Kwa upande wao viongozi wa dini walisisitiza umuhimu wa malezi bora kwa jamii ili kuwa na vijana wanaojiepusha na shughuli zisizo halali huku wakiliomba jeshi la polisi pamoja na TCRA kuweka wazi taarifa za matapeli na kutoa mrejesho kwa wananchi wanaporipoti matukio ya utapeli. Walieleza kuwa upatikanaji wa taarifa za watapeli kwa wakati unaweza kusaidia kupunguza kasi ya vitendo hivyo.",{"type":11,"children":187},[188],{"text":189,"type":16},"Akizungumza wakati wa mkutano huo Meneja wa Ufuatiliaji na Utekelezaji TCRA Mhandisi Mwesiga Barongo alisema hatua zilizochukuliwa na TCRA katika kukabiliana na utapeli mtandaoni ni pamoja na kuweka utaratibu wa usajili wa laini kwa njia ya biometriki inayosaidia kumtambua mtu anayesajili laini ya simu, Kufungia namba ya simu, IMEI na kitambulisho cha taifa – kwa laini zinazobainika kuhusika na utapeli, kuweka Muda wa dakika 30 kabla ya usajili mwingine wa laini ya simu ili kudhibiti udanganyifu na pia kuwapa nafasi wale wenye nia njema ya kusajili laini kwa matumizi binafsi.",{"type":11,"children":191},[192],{"text":193,"type":16},"Hatua nyingine ni Kushirikiana na watoa huduma kuboresha taratibu za usajili wa laini za simu na kuendesha Kampeni za elimu kwa umma ili kuhamasisha jamii kuhusu kuripoti na kujilinda dhidi ya utapeli wa kimtandao.",{"type":11,"children":195},[196],{"text":197,"type":16},"Kwa upande wake, Jeshi la Polisi lilieleza kuwa ingawa sheria zipo, bado kuna umuhimu mkubwa wa kushirikisha jamii katika mapambano dhidi ya utapeli wa kimtandao, hii ikiwa ndiyo sababu ya kuendelea kutoa elimu kwa umma. Ilielezwa kuwa kuna takribani sheria tano zinazosimamia masuala ya mawasiliano na uhalifu wa kimtandao nchini, na kwamba kwa kushirikiana, jamii inaweza kutokomeza tatizo hili.",{"type":11,"children":199},[200],{"text":201,"type":16},"Mkuu wa Jeshi la Polisi Rukwa SACP Shadrck Masija aliwataka wananchi kuripoti mara moja endapo watapoteza mali zao, ikiwemo laini za simu na simu, ili kujiepusha na usumbufu endapo vifaa hivyo vitaingia mikononi mwa matapeli. Amehimiza wananchi kuepuka kununua simu kutoka kwa watu wasiojulikana bila kujiridhisha chanzo cha simu hiyo, kwani inaweza kuwa imetumika kutekeleza uhalifu — jambo linaloweza kuwaingiza wananchi wasio na hatia katika matatizo ya kisheria.",{"type":11,"children":203},[204],{"text":205,"type":16},"Jeshi hilo pia lilieleza umuhimu wa kuwajengea uwezo viongozi wa kata na serikali za mitaa ili kuwa na uelewa wa kutosha kuhusu masuala ya utapeli, ikiwemo umuhimu wa kutoa ushahidi mahakamani, jambo ambalo baadhi ya wananchi bado wanaliogopa licha ya umuhimu wake.",{"type":11,"children":207},[208],{"text":209,"type":16},"\"Tushirikiane kutoa taarifa za haraka pindi tunapobaini vitendo vya utapeli, na kuendelea kutoa elimu kwa umma\" SACP Shadrack Masija.",{"type":11,"children":211},[212],{"text":213,"type":16},"Washiriki wa mkutano walisisitiza kuwa elimu kuhusu utapeli wa kimtandao inapaswa kuwafikia wananchi wote, hususan wale walioko vijijini, ili kuhakikisha kila mwananchi anakuwa na uelewa wa kutosha kujilinda dhidi ya vitendo hivyo vinavyoendelea kuathiri jamii kiuchumi na kijamii.","2026-09-10",3.59,"2026-09-10T14:01:26.500Z","2026-09-10T14:02:36.909Z","2026-09-10T14:02:36.950Z",{"id":220,"documentId":221,"url":222,"alternativeText":91,"formats":223,"width":262,"height":263},1955,"i7rhgvggovose235wlzkkyh6","https://www.tcra.go.tz/tcra-tovuti/2026/mamlaka-website/news/covers/21212_d51c93d6bf.jpeg",{"large":224,"small":234,"medium":243,"thumbnail":252},{"ext":94,"url":225,"etag":226,"hash":227,"mime":98,"name":228,"path":229,"size":230,"width":102,"height":231,"sizeInBytes":232,"provider_metadata":233},"https://www.tcra.go.tz/tcra-tovuti/2026/mamlaka-website/news/covers/large_21212_d51c93d6bf.jpeg","7365f4b0ab366baf65892660cb54a345","large_21212_d51c93d6bf","large_21212.jpeg","2026/mamlaka-website/news/covers",83.32,692,83323,{"s3Path":229},{"ext":94,"url":235,"etag":236,"hash":237,"mime":98,"name":238,"path":229,"size":239,"width":111,"height":240,"sizeInBytes":241,"provider_metadata":242},"https://www.tcra.go.tz/tcra-tovuti/2026/mamlaka-website/news/covers/small_21212_d51c93d6bf.jpeg","bdaff2446e2349049e7db6c69eb04795","small_21212_d51c93d6bf","small_21212.jpeg",28.03,346,28032,{"s3Path":229},{"ext":94,"url":244,"etag":245,"hash":246,"mime":98,"name":247,"path":229,"size":248,"width":120,"height":249,"sizeInBytes":250,"provider_metadata":251},"https://www.tcra.go.tz/tcra-tovuti/2026/mamlaka-website/news/covers/medium_21212_d51c93d6bf.jpeg","d3f466b2909911e62da0ef91e42258b8","medium_21212_d51c93d6bf","medium_21212.jpeg",52.06,519,52061,{"s3Path":229},{"ext":94,"url":253,"etag":254,"hash":255,"mime":98,"name":256,"path":229,"size":257,"width":258,"height":259,"sizeInBytes":260,"provider_metadata":261},"https://www.tcra.go.tz/tcra-tovuti/2026/mamlaka-website/news/covers/thumbnail_21212_d51c93d6bf.jpeg","acda4c5a3c74e6c38c9f9c5bdf9735fe","thumbnail_21212_d51c93d6bf","thumbnail_21212.jpeg",8.77,226,156,8772,{"s3Path":229},5634,3899,{"id":265,"documentId":266,"title":267,"slug":268,"introduction":269,"content":270,"publishedDate":366,"readingTime":367,"createdAt":368,"updatedAt":369,"publishedAt":370,"locale":81,"cover":371},1682,"pikr51yrdpmbttwlxxfsqljf","Tanzania Yaibuka Mshindi, ya Ng'ara Mashindano ya Kimataifa-Hisabati","tanzania-yaibuka-mshindi-ya-ng-ara-mashindano-ya-kimataifa-hisabati","MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) inazidi kuunga mkono mipango ya kitaifa inayohamasisha matumizi ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) pamoja na masomo ya sayansi na hisabati.",[271,275,278,282,286,290,294,298,302,306,310,314,318,322,326,330,334,338,342,346,350,354,358,362],{"type":11,"children":272},[273],{"text":274,"type":16},"Na Mwandishi Wetu",{"type":11,"children":276},[277],{"text":269,"type":16},{"type":11,"children":279},[280],{"text":281,"type":16},"Mkurugenzi Mkuu wa TCRA, Mhandisi Peter Mwasalyanda, alisema mwishoni mwa wiki kuwa klabu 800 za kidijiti zimeanzishwa sehemu mbalimbali nchini na kuongeza kuwa Tanzania imezidi kuwa kinara wa hisabati Afrika na kimataifa.",{"type":11,"children":283},[284],{"text":285,"type":16},"Wanafunzi wa Tanzania wamekuwa wakifanya vizuri katika mashindano ya kimataifa ya hisabati ambamo TCRA inafadhili ushiriki wao, ameongeza. Mashindano hayo ni ya Olimpiki ya Hisabati ya Afrika (PAMO) na Olimpiki ya Kimataifa ya Hisabati (IMO).",{"type":11,"children":287},[288],{"text":289,"type":16},"TCRA inafadhili ushiriki wa Tanzania katika mashindano ya hisabati ya shule za sekondari Afrika na  na Kimataifa, pamoja na klabu mashuleni zinazokuza jumuhiko la wavumbuzi wa teknolojia ya kidijiti.",{"type":11,"children":291},[292],{"text":293,"type":16},"Mamlaka hiyo pia inafadhili baadhi ya  shughuli za  Chama cha Hisabati Tanzania (TMA/CHAHITA), ambacho huratibu mashindano hayo.",{"type":11,"children":295},[296],{"text":297,"type":16},"Mhandisi Mwasalyanda aliwapongeza wanafunzi sita kwa kupeperusha vema bendela ya Taifa Kimataifa kwa Ushindi wao wa kipekee katika mashindano ya PAMO ya mwaka 2026 yaliyofanyika Yamoussoukro, Ivory Coast mwezi uliopita, pamoja na mashindano ya hivi karibuni ya IMO yaliyofanyika Shanghai, China.",{"type":11,"children":299},[300],{"text":301,"type":16},"Akiongea na wandishi wahabari walipo wasili washindi Uwanja wandege Jijini Dar Es salaam mwishoni mwa wiki, Mwenyekiti wa Chama cha Hisabati Tanzania Dkt. Said Sima amebainisha kwamba Washiriki wa Tanzania katika mashindano ya Shanghai walipata alama za ziada, jambo lililoinua nafasi ya nchi kimataifa. Walipata alama 22 ikilinganishwa na alama 14 walizopata wawakilishi mwaka jana.",{"type":11,"children":303},[304],{"text":305,"type":16},"Dkt. Sima alisema Kule Shanghai, Bi. Lightness Pigiliano Ngiliule kutoka Shule ya Sekondari St. Francis alitunukiwa medali kama ‘Malkia” wa hisabati barani Afrika. Alipata taji hili akiwa Yamoussoukro.",{"type":11,"children":307},[308],{"text":309,"type":16},"Lightness alikuwa miongoni mwa wanafunzi sita wa Kitanzania walioshiriki shindano la hisabati barani Afrika PAMO ya mwaka huu. Wengine ni Angel Margaret Zalwango (Shule ya Sekondari White Lake), Sweetbert John Nene (Ilboru), Nyandahu Theophil Leonard (Kibaha), Joyce Pascali Sulumo (Kilakala) na Arqam Yassir Salim (Shule ya Rehema Wakfu).",{"type":11,"children":311},[312],{"text":313,"type":16},"Dkt. Sima ambaye ni mkufunzi wa Chuo Kikuu cha Dar Ees salaam amesama Wanafunzi hao sita walishinda na kurudi nyumbani na jumla ya medali 9 katika mashindano ya PAMO kutoka Yamoussoukro, Ivory Coast , ambapo Tanzania  ilishika nafasi ya 5 kati ya nchi 26 zilizoshiriki, mwezi uliopita. ",{"type":11,"children":315},[316],{"text":317,"type":16},"Wavulana watatu walishinda medali moja kila mmoja, huku wasichana watatu wakishinda medali mbili kila mmoja katika kundi la jumla. Wasichana hao walishinda medali za ziada katika kundi maalum la wasichana.",{"type":11,"children":319},[320],{"text":321,"type":16},"Sayansi na Hisabati ni nguzo muhimu katika kujenga uchumi wa kidijitali. Zinapojumuishwa na teknolojia na uhandisi, masomo haya hujulikana kama STUH/STEM.",{"type":11,"children":323},[324],{"text":325,"type":16},"SUH/STEM ina manufaa kwa taifa na kwa wanafunzi binafsi. Mbali na kuwezesha uchumi wa kidijiti, masomo haya huwapa wanafunzi maarifa na ujuzi wa kujenga taaluma katika mazingira ya TEHAMA yanayobadilika kila mara. ",{"type":11,"children":327},[328],{"text":329,"type":16},"Wachambuzi wanasema kuwa  maendeleo ya teknolojia yataondoa ajira nyingi zilizopo sasa ndani ya miaka michache ijayo.",{"type":11,"children":331},[332],{"text":333,"type":16},"Mkurugenzi Mkuu wa TCRA Mhandisi Mwasalyanda ameeleza kwamba Klabu za kidijiti, zinaanzishwa kuanzia shule ya awali hadi ngazi ya vyuo vikuu kwa madhumuni ya kuwawezesha wanafunzi kuelewa teknolojia za kidijitali na matumizi yake ya vitendo kuanzia umri mdogo. ",{"type":11,"children":335},[336],{"text":337,"type":16},"Klabu hizi zinakuza ujuzi wa kidijitali na kujenga misingi ya  utumiaji wa teknolojia ya kidijiti katika sekta mbalimbali.",{"type":11,"children":339},[340],{"text":341,"type":16},"Klabu hizo ni chimbuko la wavumbuzi wanao leta suluhu za Kitehama kwa changamoto mbali mbali kwa Jamii,  kupitia vijana wanaoshiriki katika masuala ya STUH/TEHAMA na mawasiliano. Shughuli ndani ya klabu hizi ni pamoja na mijadala na mashindano kuhusu mada mbalimbali.",{"type":11,"children":343},[344],{"text":345,"type":16},"Mkakati wa Uchumi wa Kidijitali wa Tanzania (2024-2034) unasisitiza hitaji la kuongeza ufahamu wa STUH/STEM kutoka ngazi za chini za elimu. Unawahimiza wadau kukuza ujuzi wa kidijitali na ujuzi kama vichocheo muhimu vya uchumi wa kidijitali.",{"type":11,"children":347},[348],{"text":349,"type":16},"Wataalamu wa elimu wanakadiria kuwa asilimia 25 pekee ya wanafunzi katika nchi nyingi za Kiafrika hufuata nyanja za kazi zinazohusiana na STUH/STEM katika elimu ya juu.",{"type":11,"children":351},[352],{"text":353,"type":16},"Vikwazo ni pamoja na vifaa vya kutosha, walimu wachache na dhana potofu kuhusu matatizo ya STEM. Shule nyingi hazina vifaa vya vitendo, ikiwa ni pamoja na maabara zenye vifaa.",{"type":11,"children":355},[356],{"text":357,"type":16},"Mhandishi Mwasalyanda alieleza kuwa mpango wa TCRA wa kuhamasisha uanzishaji klabu za kidijhiti ni sehemu ya utaratibu wake wa kuainisha mipango yake na mikakati na sera za kitaifa. Mipango hiyo ni pamoja na Mpango wa tatu wa Maendeleo wa miaka mitano, Dira ya Maendeleo Tanzania kufikia 2050 na Sera mbalimbali za Sekta ya Mawasiliano.",{"type":11,"children":359},[360],{"text":361,"type":16},"Alisema kuwa pamoja na vilabu, TCRA inahamasisha na kuendeleza ubunifu kwenye TEHAMA na mawasiliano kwa ujumla. Inawapatia wabunifu, bila malipo na kwa muda maalum, raslimali muhimu za mawasiliano ili kuwawezesha kujaribu miradi yao kabla ya kuanza kuitoa kama huduma. ",{"type":11,"children":363},[364],{"text":365,"type":16},"Raslimali hizo ni pamoja na masafa ya mawasiliano bila waya, namba na misimbo, vikoa vya Tanzania kwa ajili ya huduma za intaneti na postikodi.","2026-08-04",3.83,"2026-08-04T10:56:15.016Z","2026-08-04T10:56:16.282Z","2026-08-04T10:56:16.317Z",{"id":372,"documentId":373,"url":374,"alternativeText":91,"formats":375,"width":406,"height":407},1939,"gfw6xjv9ssaqdzhfalwx1km8","https://www.tcra.go.tz/tcra-tovuti/2026/mamlaka-website/news/covers/31072026_Wanafunzi_Washindi_b1a5da2983.jpeg",{"large":376,"small":384,"medium":392,"thumbnail":399},{"ext":94,"url":377,"etag":378,"hash":379,"mime":98,"name":380,"path":229,"size":381,"width":102,"height":382,"sizeInBytes":383},"https://www.tcra.go.tz/tcra-tovuti/2026/mamlaka-website/news/covers/large_31072026_Wanafunzi_Washindi_b1a5da2983.jpeg","67223dc55a45ae58539904f6a9902414","large_31072026_Wanafunzi_Washindi_b1a5da2983","large_31072026_Wanafunzi Washindi.jpeg",126.26,667,126259,{"ext":94,"url":385,"etag":386,"hash":387,"mime":98,"name":388,"path":229,"size":389,"width":111,"height":390,"sizeInBytes":391},"https://www.tcra.go.tz/tcra-tovuti/2026/mamlaka-website/news/covers/small_31072026_Wanafunzi_Washindi_b1a5da2983.jpeg","78a4e61b89ee75f97afeca3852fb28e5","small_31072026_Wanafunzi_Washindi_b1a5da2983","small_31072026_Wanafunzi Washindi.jpeg",41.36,333,41363,{"ext":94,"url":393,"etag":394,"hash":395,"mime":98,"name":396,"path":229,"size":397,"width":120,"height":111,"sizeInBytes":398},"https://www.tcra.go.tz/tcra-tovuti/2026/mamlaka-website/news/covers/medium_31072026_Wanafunzi_Washindi_b1a5da2983.jpeg","3efabd64e7c1e575e087aa8293c9bbca","medium_31072026_Wanafunzi_Washindi_b1a5da2983","medium_31072026_Wanafunzi Washindi.jpeg",79.78,79776,{"ext":94,"url":400,"etag":401,"hash":402,"mime":98,"name":403,"path":229,"size":404,"width":4,"height":259,"sizeInBytes":405},"https://www.tcra.go.tz/tcra-tovuti/2026/mamlaka-website/news/covers/thumbnail_31072026_Wanafunzi_Washindi_b1a5da2983.jpeg","b14b518d77cd7f314be2f194fa09c72b","thumbnail_31072026_Wanafunzi_Washindi_b1a5da2983","thumbnail_31072026_Wanafunzi Washindi.jpeg",11.64,11639,1080,720,{"id":409,"documentId":410,"title":411,"slug":412,"introduction":413,"content":414,"publishedDate":462,"readingTime":463,"createdAt":464,"updatedAt":465,"publishedAt":466,"locale":81,"cover":467},1683,"neu2wwjcryynhyagl21fe0x2","Tanzania yaibuka Kidedea tena Mashindano ya Hisabati Afrika","tanzania-yaibuka-kidedea-tena-mashindano-ya-hisabati-afrika","WANAFUNZI Sita wa shule za sekondari Tanzania wamenyakua jumla ya medali tisa katika mashindano ya Hisabati  Afrika yaliyofanyika mwaka huu nchini Cote d’Ivoire, ambapo nchi ilishika nafasi ya tano kati ya nchi 26 zilizoshiriki, imebainika.",[415,418,422,426,430,434,438,442,446,450,454,458],{"type":11,"children":416},[417],{"text":274,"type":16},{"type":11,"children":419,"textAlign":421},[420],{"text":413,"type":16},"justify",{"type":11,"children":423,"textAlign":421},[424],{"text":425,"type":16},"Mwenyekiti wa Chama cha Hisabati Tanzania (TMA/CHAHITA), Dkt. Said Sima, alisema jijini Dar es Salaam Jumapili, tarehe 5 Julai 2026, kuwa wavulana watatu walishinda medali moja kila mmoja huku wasichana watatu wakijishindia medali mbili kila mmoja.",{"type":11,"children":427,"textAlign":421},[428],{"text":429,"type":16},"Ushindi huu unaendelea kuiinua Tanzania kama kinara wa hisabati shule za sekondari, ikiwa imeshinda  medali nne katika Mashindano ya Hisabati ya Afrika (PAMO) ya mwaka 2024 na idadi kama hiyo katika mashindano ya mwaka jana. Dkt. Sima alieleza kuwa Tanzania ilipanda kutoka nafasi ya 10 mwaka 2025 hadi nafasi ya tano mwaka huu.",{"type":11,"children":431},[432],{"text":433,"type":16},"Dkt. Sima alisema wanafunzi hao sita waliowakilisha Tanzania walichaguliwa kupitia majaribio matatu ya tathmini yaliyofuatia Mashindano ya Hisabati ya Tanzania (TAMO) mwishoni mwa mwaka 2025. Watashiriki katika Mashindano ya Kimataifa ya Hisabati (IMO) ya mwaka 2026 yatakayofanyika Shanghai, China, kuanzia tarehe 10 hadi 21 Julai 2026.",{"type":11,"children":435},[436],{"text":437,"type":16},"Wanafunzi watatu walioshinda medali za shaba katika PAMO ni Angel Margaret Zalwango wa Shule ya Sekondari White Lake, Sweetbert John Nene wa Ilboru, na Nyandahu Theophil Leonard wa Shule ya Sekondari Kibaha.",{"type":11,"children":439},[440],{"text":441,"type":16},"Medali za fedha zilikwenda kwa Lightness Pigiliano Ngiliule wa St. Francis, Joyce Pascali Sulumo wa Kilakala, na Arqam Yassir Salim wa Shule ya Rehema Wakfu.",{"type":11,"children":443},[444],{"text":445,"type":16},"Medali nyingine tatu zilikuwa katika kipengele maalum cha PAMO kwa wasichana. Medali hizo zilinyakuliwa na Lightness (dhahabu), Joyce (fedha), na Angel (shaba).",{"type":11,"children":447},[448],{"text":449,"type":16},"TMA/CHAHITA huratibu ushiriki wa Tanzania katika mashindano ya hisabati ya ndani, kikanda na kimataifa. Chama hicho kilianzishwa mwaka 1966 ili kukuza na kuboresha ufundishaji na ujifunzaji wa hisabati katika ngazi zote za elimu nchini Tanzania.",{"type":11,"children":451},[452],{"text":453,"type":16},"Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) ilifadhili washiriki hao ikiwa ni sehemu ya mchango wake katika kukuza masomo ya sayansi, teknolojia, uhandisi na hisabati (STUH/STEM) nchini Tanzania. ",{"type":11,"children":455},[456],{"text":457,"type":16},"TCRA inawahimiza wanafunzi wa ngazi zote - kuanzia chekechea hadi chuo kikuu - kuunda na kushiriki katika vilabu vya kidijitali ili kukuza ujuzi wa teknolojia ya habari na mawasiliano (TEHAMA) na kupanua uelewa wa masuala ya kidijitali.",{"type":11,"children":459},[460],{"text":461,"type":16},"Mkurugenzi Mkuu wa TCRA, Mhandisi Peter Mwasalyanda, aliwapongeza wanafunzi kwa utendaji wao mzuri. Alisisitiza uungaji mkono wa Mamlaka kwa matukio yanayochangia uchumi wa kidijitali na wa bluu nchini.","2026-07-31",1.89,"2026-08-01T04:18:54.018Z","2026-08-04T11:00:36.697Z","2026-08-04T11:00:36.742Z",{"id":468,"documentId":469,"url":470,"alternativeText":91,"formats":471,"width":501,"height":502},1943,"msk4wjprzws15ljo3874lns5","https://www.tcra.go.tz/tcra-tovuti/2026/mamlaka-website/news/covers/Whats_App_Image_2026_08_03_at_14_21_01_1_364e08cf35.jpeg",{"large":472,"small":480,"medium":487,"thumbnail":494},{"ext":94,"url":473,"etag":474,"hash":475,"mime":98,"name":476,"path":229,"size":477,"width":102,"height":478,"sizeInBytes":479},"https://www.tcra.go.tz/tcra-tovuti/2026/mamlaka-website/news/covers/large_Whats_App_Image_2026_08_03_at_14_21_01_1_364e08cf35.jpeg","3675dee7550d65023effbb56b22c4b3b","large_Whats_App_Image_2026_08_03_at_14_21_01_1_364e08cf35","large_WhatsApp Image 2026-08-03 at 14.21.01 (1).jpeg",86.26,666,86259,{"ext":94,"url":481,"etag":482,"hash":483,"mime":98,"name":484,"path":229,"size":485,"width":111,"height":390,"sizeInBytes":486},"https://www.tcra.go.tz/tcra-tovuti/2026/mamlaka-website/news/covers/small_Whats_App_Image_2026_08_03_at_14_21_01_1_364e08cf35.jpeg","e6c7a690d8d5817fb32849564f87db75","small_Whats_App_Image_2026_08_03_at_14_21_01_1_364e08cf35","small_WhatsApp Image 2026-08-03 at 14.21.01 (1).jpeg",27.54,27536,{"ext":94,"url":488,"etag":489,"hash":490,"mime":98,"name":491,"path":229,"size":492,"width":120,"height":111,"sizeInBytes":493},"https://www.tcra.go.tz/tcra-tovuti/2026/mamlaka-website/news/covers/medium_Whats_App_Image_2026_08_03_at_14_21_01_1_364e08cf35.jpeg","f4bd5027a9511c8a857cfb79ca7b51d7","medium_Whats_App_Image_2026_08_03_at_14_21_01_1_364e08cf35","medium_WhatsApp Image 2026-08-03 at 14.21.01 (1).jpeg",52.1,52101,{"ext":94,"url":495,"etag":496,"hash":497,"mime":98,"name":498,"path":229,"size":499,"width":4,"height":259,"sizeInBytes":500},"https://www.tcra.go.tz/tcra-tovuti/2026/mamlaka-website/news/covers/thumbnail_Whats_App_Image_2026_08_03_at_14_21_01_1_364e08cf35.jpeg","1265f6eefbaa1a5c8a10eee9071480eb","thumbnail_Whats_App_Image_2026_08_03_at_14_21_01_1_364e08cf35","thumbnail_WhatsApp Image 2026-08-03 at 14.21.01 (1).jpeg",8.96,8958,2560,1706,{"id":504,"documentId":505,"title":506,"slug":507,"introduction":508,"content":509,"publishedDate":558,"readingTime":559,"createdAt":560,"updatedAt":560,"publishedAt":561,"locale":81,"cover":562},6,"edl3qo0l51q5gm32s0t4skda","TCRA yahimiza Kujilinda Mtandaoni kwa Kutumia namba Fupi","tcra-yahimiza-kujilinda-mtandaoni-kwa-kutumia-namba-fupi-sw","MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imehimiza Wananchi, nchi nzima kujilinda na matapeli na wahalifu mtandaoni kwa kutumia namba fupi ambazo Mamlaka hiyo imetengeza ili kuripoti matukio ya kihalifu na kujilinda. Mkurugenzi Mkuu wa TCRA, Dkt Jabiri Bakari ametanabaisha hayo wakati wa mahojiano maalum jijini Dar Es S…",[510,514,518,522,526,530,534,538,542,546,550,554],{"type":11,"children":511},[512],{"text":513,"type":16},"MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imehimiza Wananchi, nchi nzima kujilinda na matapeli na wahalifu mtandaoni kwa kutumia namba fupi ambazo Mamlaka hiyo imetengeza ili kuripoti matukio ya kihalifu na kujilinda.",{"type":11,"children":515},[516],{"text":517,"type":16},"Mkurugenzi Mkuu wa TCRA, Dkt Jabiri Bakari ametanabaisha hayo wakati wa mahojiano maalum jijini Dar Es Salaam jana akisema kwa Taasisi hiyo ipo kwenye jukumu la kueneza elimu kwa watumiaji na umma kuhusu namna bora ya kujilinda na wahalifu wanapo endelea kunufaika na fursa zitokanazo na mitandao.",{"type":11,"children":519},[520],{"text":521,"type":16},"Dkt. Jabiri amebainisha kwamba Maendeleo ya teknolojia ya habari na mawasiliano na kuenea kwa huduma zilizowezeshwa kwa mifumo ya Kidijiti vimeongeza kasi ya maendeleo na ufanisi katika upatikanaji wa huduma kwahiyo ulinzi kwa watumiaji ni jambo la msingi. ",{"type":11,"children":523},[524],{"text":525,"type":16},"Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) ni msingi mkuu wa mfumo wezeshi kwende sekta zote, ikiwemo huduma za Kiposta na Uasifirishaji wa vifulushio na vipeto, Utangazaji, huduma za simu na intaneti yakiwemo maeneo mengine pamoja na kilimo, utalii, fedha, elimu, matibabu, usafiri na usafirishaji na uchimbaji madini.",{"type":11,"children":527},[528],{"text":529,"type":16},"TCRA imewakumbusha watumiaji wanaopigiwa simu au kutumiwa meseji zozote zinazoashiria utapeli kutuma namba hiyo ya tapeli kwa ujumbe mfupi (SMS) kwenda namba 15040 BURE ambayo ni ya bure ili namba ya tapeli ifungiwe.",{"type":11,"children":531},[532],{"text":533,"type":16},"Aidha, amekumbusha kwamba watumiaji wasikubali kutii maelekezo yeyote kutoka kwa mtu aliyewapigia na namba ya simu binafsi na kujitambulisha kuwa ni Mtoa Huduma wa mtandao. Watumiaji wamekumbushwa kuwa namba ya huduma kwa wateja ni 100 pekee. ",{"type":11,"children":535},[536],{"text":537,"type":16},"Watumiaji pia wanakumbushwa kutokujibu ujumbe kwa njia ya simu au barua pepe unaowataarifu kuwa wameshinda bahati nasibu wakati hawajashiriki kwenye mchezo wowote wa aina hiyo. Wanaelekezwa kuufuta.",{"type":11,"children":539},[540],{"text":541,"type":16},"Kampeni hiyo pia inaeleza namna ya kuhakiki idadi ya laini za simu zilizosajiliwa kibaometria kwa namba ya kitambulisho cha cha taifa cha mtumiaji kwa kubofya *106#, ambapo wanatakiwa kuripoti kwa watoa huduma wao wanapogundua namba wasizozitambua ili zifutwe. ",{"type":11,"children":543},[544],{"text":545,"type":16},"Sekta ya Mawasiliano imepata maendeleo makubwa ambapo takwimu za Desemba 2025 za hali ya mawasiliano Tanzania zinaonesha akaunti za pesa kupitia simu za mkononi zimefikia 76,466,691. Laini zilizotumia huduma za intaneti zilizongezeka kwa asilimia 3.2 kati ya Septemba na Desemba 2025, kutoka 56,322,287 hadi 58,106,264.",{"type":11,"children":547},[548],{"text":549,"type":16},"TCRA inasisitiza kwamba watumiaji wasitekeleze na wasitoe taarifa zao kabla ya kujidhihirisha kwamba wanaowasiliana nao ni watu sahihi na sio matapeli.",{"type":11,"children":551},[552],{"text":553,"type":16},"Ripoti ya hali ya mawasiliano Tanzania kufikia Desemba inasema ingawaje matukio na majaribio ya ulaghai yaliyoripotiwa kwenye mitandao ya simu yalipungua, kushuka kwa asilimia 24 kati ya Septemba na Desemba 2025, bado kuna wahalifu wanaondelea na utapeli. Yalipungua kutoka 12,475 hadi 9,450 kipindi hicho.",{"type":11,"children":555},[556],{"text":557,"type":16},"Kwa ujumla, matukio ya ulaghai yamepungua kwa asilimia 150 kati ya Septemba 2023 na Desemba 2025, kutoka matukio 23,328 hadi 9,450. Hata hivyo, licha ya hali hiyo, mikoa ya Rukwa na Morogoro imeendelea kuongoza kwa matukio mengi zaidi ya ulaghai.","2026-03-10",2.23,"2026-03-11T07:13:37.000Z","2026-06-02T23:38:14.320Z",{"id":563,"documentId":564,"url":565,"alternativeText":91,"formats":566,"width":596,"height":597},16,"lt8ybk9bza3dzw0cmu2h8tjy","https://www.tcra.go.tz/tcra-tovuti/2026/mamlaka-website/news/covers/aa87569364f458012dec8ed47ccfd2f9_f1329cb2ad.jpeg",{"large":567,"small":574,"medium":581,"thumbnail":589},{"ext":94,"url":568,"etag":569,"hash":570,"mime":98,"name":571,"path":229,"size":572,"width":102,"height":103,"sizeInBytes":573},"https://www.tcra.go.tz/tcra-tovuti/2026/mamlaka-website/news/covers/large_aa87569364f458012dec8ed47ccfd2f9_f1329cb2ad.jpeg","9d2b7ee34b3e582d7abb866a3e41ea3c","large_aa87569364f458012dec8ed47ccfd2f9_f1329cb2ad","large_aa87569364f458012dec8ed47ccfd2f9.jpeg",77.11,77113,{"ext":94,"url":575,"etag":576,"hash":577,"mime":98,"name":578,"path":229,"size":579,"width":111,"height":112,"sizeInBytes":580},"https://www.tcra.go.tz/tcra-tovuti/2026/mamlaka-website/news/covers/small_aa87569364f458012dec8ed47ccfd2f9_f1329cb2ad.jpeg","b6ab770cdb07009d90aae3a706e62bae","small_aa87569364f458012dec8ed47ccfd2f9_f1329cb2ad","small_aa87569364f458012dec8ed47ccfd2f9.jpeg",29,29004,{"ext":94,"url":582,"etag":583,"hash":584,"mime":98,"name":585,"path":229,"size":586,"width":120,"height":587,"sizeInBytes":588},"https://www.tcra.go.tz/tcra-tovuti/2026/mamlaka-website/news/covers/medium_aa87569364f458012dec8ed47ccfd2f9_f1329cb2ad.jpeg","f81b59ace6f1b395bc486e5c90dba50b","medium_aa87569364f458012dec8ed47ccfd2f9_f1329cb2ad","medium_aa87569364f458012dec8ed47ccfd2f9.jpeg",51.6,422,51596,{"ext":94,"url":590,"etag":591,"hash":592,"mime":98,"name":593,"path":229,"size":594,"width":129,"height":130,"sizeInBytes":595},"https://www.tcra.go.tz/tcra-tovuti/2026/mamlaka-website/news/covers/thumbnail_aa87569364f458012dec8ed47ccfd2f9_f1329cb2ad.jpeg","ab2a7b64ee19cc5b0485870765eb4fe0","thumbnail_aa87569364f458012dec8ed47ccfd2f9_f1329cb2ad","thumbnail_aa87569364f458012dec8ed47ccfd2f9.jpeg",9.31,9308,1830,1029,{"id":599,"documentId":600,"title":601,"slug":602,"introduction":603,"content":604,"publishedDate":664,"readingTime":665,"createdAt":666,"updatedAt":667,"publishedAt":668,"locale":81,"cover":669},12,"mlpqkv5wgbo76u7zgcqn6yn4","TCRA yasukuma Mageuzi Sekta ya Posta","tcra-yasukuma-mageuzi-sekta-ya-posta","Na Mwandishi Wetu MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) inapitia upya mfumo wa kisheria na usimamizi wa sekta ya Posta ili kuwezesha uanzishwaji wa aina mpya za biashara, imefahamika. Mkurugenzi Mkuu wa TCRA, Dkt Jabiri Bakari amesema hatua hiyo inaenda sambamba na kuhakikisha uzingatiaji wa viwango vya ubora wa hudu…",[605,608,612,616,620,624,628,632,636,640,644,648,652,656,660],{"type":11,"children":606},[607],{"bold":14,"text":274,"type":16,"italic":14},{"type":11,"children":609},[610],{"text":611,"type":16},"MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) inapitia upya mfumo wa kisheria na usimamizi wa sekta ya Posta ili kuwezesha uanzishwaji wa aina mpya za biashara, imefahamika.",{"type":11,"children":613},[614],{"text":615,"type":16},"Mkurugenzi Mkuu wa TCRA, Dkt Jabiri Bakari amesema hatua hiyo inaenda sambamba na kuhakikisha uzingatiaji wa viwango vya ubora wa huduma na kuhakikisha uendelevu wa sekta kwa muda mrefu.",{"type":11,"children":617},[618],{"text":619,"type":16},"Ameeleza kuwa TCRA inatambua kwamba ukuaji endelevu wa shughuli za posta na usafirishaji vifurushi unatakiwa kuimarishwa na kanuni imara zinazozingatia masuala ya jamii, mazingira na utawala. ",{"type":11,"children":621},[622],{"text":623,"type":16},"“Kujumuisha masuala haya katika mfumo wa usimamizi ni muhimu ili kuhakikisha kuwa sekta inaendelea kuwa stahimilivu, jumuishi na inayokabiliana na changamoto zinazojitokeza kwenye teknolojia, uchumi na mazingira”, Dkt Bakari ameeleza.",{"type":11,"children":625},[626],{"text":627,"type":16},"Dr Bakari ameielezea sekta ya posta kama mwezeshaji muhimu wa uchumi wa kidijitali Afrika kupitia matumizi ya TEHAMA kutokana na nafasi yake kwenye kufanikisha biashara mtandao. ",{"type":11,"children":629},[630],{"text":631,"type":16},"“Kadri biashara ya mtandaoni inavyoendelea kupanuka, Sekta ya Posta ina majukumu muhimu katika kuunganisha biashara na watumiaji, kuwezesha biashara mipakani, na kuhakikisha kuwa vitu vya posta vinafikishwa kwa uhakika kwa wenyewe, hasa walioko vijijini na jamii kwenye maeneo yasiyofikiwa na huduma kikamilifu.”",{"type":11,"children":633},[634],{"text":635,"type":16},"Aidha ameongeza kuwa sekta ya Posta inaendelea kubaki kwenye nafasi ya kipekee ya kuwezesha ukuaji jumuishi kwa kuunganisha watu, biashara na masoko. ",{"type":11,"children":637},[638],{"text":639,"type":16},"Ubia wa kimkakati wa taasisi za serikali, kampuni binafsi zinazotoa huduma za usafirishaji vifurushi, mifumo ya kidijitali, na washirika wa maendeleo, sekta ya posta vinaweza kufungua fursa mpya kwa biashara ndogo na za kati, kuboresha uvumbuzi, na kuwezesha ukuaji wa uchumi wa kidijitali, ameeleza.",{"type":11,"children":641},[642],{"text":643,"type":16},"Dkt Bakari ameainisha vipaumbele vya TCRA katika kuendeleza sekta ya posta, ambayo imekumbana na changamoto mbalimbali miaka ya hivi karibuni. Hizi ni pamoja na kupungua kwa vitu vinavyosafirishwa chini ya mfumo wa kawida wa utoaji huduma za posta.",{"type":11,"children":645},[646],{"text":647,"type":16},"Ameeleza kuwa pamoja na changamoto zilizojitokeza, huduma za posta bado ni muhimu sana kwa maendeleo ya Tanzania. ",{"type":11,"children":649},[650],{"text":651,"type":16},"TCRA inaendeleza utunzaji wa mazingira kwa kuhimiza matumizi bora ya njia za kusafirisha vifaa na kutumia vyombo vya usafiri vinavyotumia nishati kwa ufanisi na ambavyo havitoi hewa chafu. Vilevile inaweka kipaumbele katika upatikanaji wa huduma za posta kwa wote. ",{"type":11,"children":653},[654],{"text":655,"type":16},"Dkt Bakari amesisitiza dhamira ya TCRA kuendeleza ushirikiano wa kikanda na uzingatiaji wa masuala ya pamoja kwenye usimamizi kupitia taasisi za kikanda na kimataifa zinazojihusisha na mawasiliano. Hizo ni pamoja na PAPU, Umoja wa Mawasiliano Afrika Mashariki (EACO) na Chama cha Wasimamizi wa Mawasiliano Kusini mwa Afrika (CRASA). ",{"type":11,"children":657},[658],{"text":659,"type":16},"Ushirikiano huu unawezesha kushinda changamoto zilizoko kipindi hiki na kujenga dunia ambapo ubadilishanaji wa bidhaa na taarifa hautambui mipaka, ameongeza.",{"type":11,"children":661},[662],{"text":663,"type":16},"Vilevile amewahimiza wadau wengine wa sekta ya posta kuwezesha huduma za posta kuwa za kiubunifu zaidi, salama, za kuaminika, nafuu na zinazofaa wananchi. ","2026-01-28",2.16,"2026-01-29T04:32:51.000Z","2026-01-29T07:52:17.000Z","2026-06-02T23:38:16.650Z",{"id":670,"documentId":671,"url":672,"alternativeText":91,"formats":673,"width":597,"height":703},17,"h1mdlmq5lop04qmkhcm4qn7o","https://www.tcra.go.tz/tcra-tovuti/2026/mamlaka-website/news/covers/a58a6fae4defed6ecf9c38434211b102_a9f9a36eb8.jpeg",{"large":674,"small":682,"medium":689,"thumbnail":696},{"ext":94,"url":675,"etag":676,"hash":677,"mime":98,"name":678,"path":229,"size":679,"width":102,"height":680,"sizeInBytes":681},"https://www.tcra.go.tz/tcra-tovuti/2026/mamlaka-website/news/covers/large_a58a6fae4defed6ecf9c38434211b102_a9f9a36eb8.jpeg","ee61c8adb54627b841b18b8230be2cd2","large_a58a6fae4defed6ecf9c38434211b102_a9f9a36eb8","large_a58a6fae4defed6ecf9c38434211b102.jpeg",72.68,563,72682,{"ext":94,"url":683,"etag":684,"hash":685,"mime":98,"name":686,"path":229,"size":687,"width":111,"height":112,"sizeInBytes":688},"https://www.tcra.go.tz/tcra-tovuti/2026/mamlaka-website/news/covers/small_a58a6fae4defed6ecf9c38434211b102_a9f9a36eb8.jpeg","6bcd549c72c5af61f069b01ffd735ba8","small_a58a6fae4defed6ecf9c38434211b102_a9f9a36eb8","small_a58a6fae4defed6ecf9c38434211b102.jpeg",26.43,26428,{"ext":94,"url":690,"etag":691,"hash":692,"mime":98,"name":693,"path":229,"size":694,"width":120,"height":587,"sizeInBytes":695},"https://www.tcra.go.tz/tcra-tovuti/2026/mamlaka-website/news/covers/medium_a58a6fae4defed6ecf9c38434211b102_a9f9a36eb8.jpeg","190075917ac65f9e468f6db7d048a008","medium_a58a6fae4defed6ecf9c38434211b102_a9f9a36eb8","medium_a58a6fae4defed6ecf9c38434211b102.jpeg",48.38,48381,{"ext":94,"url":697,"etag":698,"hash":699,"mime":98,"name":700,"path":229,"size":701,"width":129,"height":130,"sizeInBytes":702},"https://www.tcra.go.tz/tcra-tovuti/2026/mamlaka-website/news/covers/thumbnail_a58a6fae4defed6ecf9c38434211b102_a9f9a36eb8.jpeg","e8592a323387b29c4b90b843e688279a","thumbnail_a58a6fae4defed6ecf9c38434211b102_a9f9a36eb8","thumbnail_a58a6fae4defed6ecf9c38434211b102.jpeg",8.47,8468,579,{"id":705,"documentId":706,"title":707,"slug":708,"introduction":707,"content":709,"publishedDate":722,"readingTime":723,"createdAt":724,"updatedAt":725,"publishedAt":726,"locale":81,"cover":727},18,"tov7ukamz87egmbbgcvibq0o","SIMU JANJA ZAONGEZEKA - FURSA UCHUMI WA KIDIJITI","simu-janja-zaongezeka-fursa-uchumi-wa-kidijiti",[710,714],{"type":11,"children":711},[712],{"text":713,"type":16},"",{"type":11,"children":715},[716],{"url":717,"type":718,"children":719},"https://www.tcra.go.tz/tcra-tovuti/2025/mamlaka-website/news/attachments/en_1765781866_Digital_Opportunities_on_Surge_9281f9e769.pdf","link",[720],{"text":721,"type":16},"en-1765781866-Digital Opportunities on Surge","2025-12-14",0.02,"2025-12-15T00:57:46.000Z","2026-07-27T21:47:07.552Z","2026-06-02T23:38:44.395Z",{"id":705,"documentId":728,"url":729,"alternativeText":91,"formats":730,"width":762,"height":763},"vgrp0vvvjxalg11y7ey6xi52","https://www.tcra.go.tz/tcra-tovuti/2025/mamlaka-website/news/covers/default_image_3c9bacf365.png",{"large":731,"small":741,"medium":748,"thumbnail":755},{"ext":732,"url":733,"etag":734,"hash":735,"mime":736,"name":737,"path":738,"size":739,"width":102,"height":680,"sizeInBytes":740},".png","https://www.tcra.go.tz/tcra-tovuti/2025/mamlaka-website/news/covers/large_default_image_3c9bacf365.png","1c9c0b23e688bc6b237143b33f85d3a5","large_default_image_3c9bacf365","image/png","large_default-image.png","2025/mamlaka-website/news/covers",1087.49,1087491,{"ext":732,"url":742,"etag":743,"hash":744,"mime":736,"name":745,"path":738,"size":746,"width":111,"height":112,"sizeInBytes":747},"https://www.tcra.go.tz/tcra-tovuti/2025/mamlaka-website/news/covers/small_default_image_3c9bacf365.png","19a87465d52f16454657438f278d36b7","small_default_image_3c9bacf365","small_default-image.png",306.99,306989,{"ext":732,"url":749,"etag":750,"hash":751,"mime":736,"name":752,"path":738,"size":753,"width":120,"height":587,"sizeInBytes":754},"https://www.tcra.go.tz/tcra-tovuti/2025/mamlaka-website/news/covers/medium_default_image_3c9bacf365.png","0514aab915596d25ec66ce380cbba1cb","medium_default_image_3c9bacf365","medium_default-image.png",662.16,662164,{"ext":732,"url":756,"etag":757,"hash":758,"mime":736,"name":759,"path":738,"size":760,"width":129,"height":130,"sizeInBytes":761},"https://www.tcra.go.tz/tcra-tovuti/2025/mamlaka-website/news/covers/thumbnail_default_image_3c9bacf365.png","b81b90651abe883178e65091bb6f1867","thumbnail_default_image_3c9bacf365","thumbnail_default-image.png",81.97,81966,1024,576,{"id":765,"documentId":766,"title":767,"slug":768,"introduction":767,"content":769,"publishedDate":780,"readingTime":723,"createdAt":781,"updatedAt":782,"publishedAt":783,"locale":81,"cover":784},24,"wrwi78zpdmfgk4ryphkz8o6s","DIGITAL REVOLUTION: 99M SUBSCRIPTIONS POWER ECONOMIC TRANSFORMATION","digital-revolution-99m-subscriptions-power-economic-transformation-sw",[770,773],{"type":11,"children":771},[772],{"text":713,"type":16},{"type":11,"children":774},[775],{"url":776,"type":718,"children":777},"https://www.tcra.go.tz/tcra-tovuti/2025/mamlaka-website/news/attachments/en_1763724243_Digital_Revoluton_Article_ba08c99ea5.pdf",[778],{"text":779,"type":16},"en-1763724243-Digital Revoluton Article","2025-11-20","2025-11-21T05:24:03.000Z","2026-07-27T21:47:07.960Z","2026-06-02T23:38:56.733Z",{"id":705,"documentId":728,"url":729,"alternativeText":91,"formats":785,"width":762,"height":763},{"large":786,"small":787,"medium":788,"thumbnail":789},{"ext":732,"url":733,"etag":734,"hash":735,"mime":736,"name":737,"path":738,"size":739,"width":102,"height":680,"sizeInBytes":740},{"ext":732,"url":742,"etag":743,"hash":744,"mime":736,"name":745,"path":738,"size":746,"width":111,"height":112,"sizeInBytes":747},{"ext":732,"url":749,"etag":750,"hash":751,"mime":736,"name":752,"path":738,"size":753,"width":120,"height":587,"sizeInBytes":754},{"ext":732,"url":756,"etag":757,"hash":758,"mime":736,"name":759,"path":738,"size":760,"width":129,"height":130,"sizeInBytes":761}]