JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA

TAASISI YENYE VIWANGO VYA ISO 9001: 2015

TCRA imeandaa Mkataba wa Huduma kwa Mteja (Client Service Charter) kwa lengo la kuboresha huduma na kutekeleza majukumu yake kwa uwazi ili kutimiza dhana ya uwajibikaji. Mkataba huu unabainisha huduma zinazotolewa na TCRA pamoja na viwango vyake; uhusiano ambao TCRA inataka kuukuza kati ya watumishi na wateja; na haki na wajibu wa mteja kuhusiana na huduma zinazotolewa ili kukidhi matarajio ya wateja na wadau. Bofya hapa kufungua

 

Je, una Maswali yoyote juu ya Sekta ya Mawasiliano?
Tuma Mrejesho na Malalamiko!

Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imejidhatiti kutoa huduma bora kwa wateja na wadau wake wote.

Tuma Mrejesho na Malalamiko!