JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA

TAASISI YENYE VIWANGO VYA ISO 9001: 2015

Mkataba wa huduma kwa Wateja unatuongoza kukupa huduma bora. Mkataba huu unakuonesha jinsi ya kutuma malalamiko, muda tunaotumia kushughulikia masuala ya watumiaji na jinsi ya kuwasiliana na kituo chetu cha huduma kwa wateja. Bofya hapa kufungua

 

 

Je, una Maswali yoyote juu ya Sekta ya Mawasiliano?
Tuma Mrejesho na Malalamiko!

Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imejidhatiti kutoa huduma bora kwa wateja na wadau wake wote.

Tuma Mrejesho na Malalamiko!