Dira
Jamii iliyowezeshwa na huduma jumuishi na endelevu za mawasiliano.
Dhima
Kusimamia huduma za mawasiliano kwa ustawi wa Jamii ya Watanzania.
Mamlaka
Wajibu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) ni kusimamia sekta ya mawasiliano na kielektroni na posta kwa mujibu wa Sheria ya Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania Namba 12 ya mwaka 2003.



