- Kukuza miundombinu na mifumo ya mawasiliano yenye salama imara na ustahimilivu;
- Kuongeza upatikanaji na ubora wa huduma za mawasiliano kwa gharama nafuu;
- Kukuza uvumbuzi kwenye huduma za mawasiliano
- sambamba na ushirikishwaji wa wadau; na
- Kuimarisha uwezo wa taasisi.



