JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA

TAASISI YENYE VIWANGO VYA ISO 9001: 2015

Leseni zilizotolewa na TCRA Kuanzia Mwezi Aprili hadi Mei 2021


Leseni zilizotolewa na TCRA Kuanzia Mwezi Aprili hadi Mei 20...

TCRA inapenda kuwapongeza wadau wafuatao kwa kupata Leseni Mwezi Aprili na Mei 2021.

1. Jina la Mmiliki wa Leseni: Africa Swahili Media Limited (Dizzim Xtra)
Aina ya Leseni: National Content Services (Subscription Broadcasting - Television
Tarehe ya Leseni Kutoka: 30 Aprili, 2021

2. Jina la Mmiliki wa Leseni: Breakthrough Technologies Africa Limited
Aina ya Leseni: National Application Services       
Tarehe ya Leseni Kutoka: 29 Aprili, 2021

3. Jina la Mmiliki wa Leseni: Axieva Africa Lab Limited (T),
Aina ya Leseni: National Application Services
Tarehe ya Leseni Kutoka: 29 Aprili, 2021

4. Jina la Mmiliki wa Leseni:Wakandi Tanzania Limited
Aina ya Leseni: National Application Services       
Tarehe ya Leseni Kutoka: 7 Mei, 2021

Je, una Maswali yoyote juu ya Sekta ya Mawasiliano?
Tuma Mrejesho na Malalamiko!

Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imejidhatiti kutoa huduma bora kwa wateja na wadau wake wote.

Tuma Mrejesho na Malalamiko!